1 1
Mwana-Adam ni Nani Naye ni Nini Mungu Amkomboe

Mwana-Adam ni Nani Naye ni Nini Mungu Amkomboe - Paperback

$78.98
$78.98
(-0%)
Report copyright infringementby Shannel S. Silwimba (Author)Kitabu hiki MNNNMA ni kiberiti kinacho washa moto wa mabadaliko makubwa,...
Vendor: BooksCloud
Availability: In stock
Product type: Books
Subtotal: $78.98
10 customers are viewing this product

Free Shipping

Free standard shipping on orders over $99

Estimated to be delivered on 6-12 Days.

Refund & Return Policy

Learn More.

by Shannel S. Silwimba (Author)

Kitabu hiki MNNNMA ni kiberiti kinacho washa moto wa mabadaliko makubwa, na kama siyo mapinduzi ndani ya kanisa lote linalo zungumza Kiswahili. Katika hiki tunaona mtizamo mpya wa theolojia, changamoto katika tafsiri za biblia ndani ya lugha ya Kiswahili, na jipya zaidi ni uhamisho wa waumini toka udini kuelekea mahusiano na Mungu YHWH.

Kitabu kinachukulia biblia yote kuwa fumbo la picha, na hivyo kutumia mstari wa wakati uendao mbele katika mduara, kuonyesha mwanzo hadi mwisho wa kila kitu. Na kama hili halitoshi, kinaweka dai tatanishi kwamba, biblia yote iliandikwa kwa ajili ya ukombozi wa Adonai Yeshua Kristo, na kwamba yote humo pamoja na maisha yako yote, ni kwa ajili ya Mungu YHWH kuwa na familia yake tu.

Kitabu kinacho dai tete la kuifunua kweli iliyo moja na ya pekee mahali pote, wakati wote, na kwa vizazi vyote. Na katika kunogesha uelewa; kinapinga mafundisho yaliyo zoeleka kwamba, mtu ataishi Mbinguni na Mungu milele, kwa kudai maandiko yote yanasema, ni Mungu YHWH anaye hamia katika Dunia mpya ndani ya Yerushalem Mpya kuishi humo milele na watoto wake watakatifu.

Kitabu kinajikita katika malumbano ya kidini na sayansi, na kuitumia teknolojia ya sasa kuelezea dhana nyingi za kiimani. Na kwa kila funzo la kinadharia unalo pewa, pia huonyeshwa jinsi ya kutenda hilo uhesabiwe mstahiki wa ahadi hiyo ya Mungu. Na katika ujasiri mkuu kinaweka dai ya kuwa, hicho ni ujumbe halisi wa Mungu YHWH kwa kanisa lake tukufu linalo zungumza Kiswahili.

Ni kitabu ambacho kila anayefunza dini hawezi kukikosa, na kwa kila mtu anaye taka kujua kweli ya mambo ya kiungu, hiki ni kitabu muhimu zaidi sokoni kwa sasa. Tunakiona kutawala malumbano katika kumbi za mihadhara, mimbari za masinagogi, na hata madarasani kufunzwapo dini. Ni kitabu ambacho kitafungua jicho la kila muumini, kwani katika lugha ya Kiswahili hakipo kinacho zama katika kina chake hiki. Kwa kweli uhamsho wa kanisa linalo zungumza Kiswahili sasa umefika wakati wake!

Number of Pages: 392
Dimensions: 0.81 x 11 x 8.5 IN
Publication Date: February 01, 2023

At Lumaryon Universal, we are committed to providing a smooth and reliable shipping experience for every customer. All orders are carefully processed within 1–3 business days, excluding weekends and and public holidays.

Once dispatched, orders are shipped using trusted carriers, with an estimated delivery timeframe of 6–12 business days, depending on your location and carrier conditions. Customers will receive a shipping confirmation email with tracking information as soon as their order is shipped, allowing them to monitor delivery progress.

While we strive to meet estimated delivery times, occasional delays may occur due to factors beyond our control, such as weather conditions or carrier disruptions. Our team remains available to assist with any shipping or delivery inquiries to ensure a secure and hassle-free shopping experience.

FREE SHIPPING!

Free Shipping On All Orders Over $99

24/7 Support

Our support team always ready for you to 7 days a week

Secure Payment

100% Secure Transactions

30-DAY EASY RETURNS

30 Day Return Policy

Related Products

Recently Viewed Products